PICHA: Makomando wa JWTZ Wakishuka Na Kamba kutoka juu ya helikopta

Makomando wakishuka kwa kamba kutoka juu ya helikopta wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru Tanzania bara yaliyofanyika leo desemba 9, 2021 katika viwanja vya Uhuru jijini Dar es salaam.



from MPEKUZI

Comments