Tangazo La Usaili Kwa Waombaji Wa Ajira Ya Jeshi la Polisi Kupitia Mtandao (Online)


Jeshi la Polisi linapenda kuwatangazia kuwa usaili wa vijana wenye fani maalum ambao walioomba kujiunga na Jeshi la Polisi Tanzania kupitia Mtandao (online) usaili wao utafanyika tarehe 30/10/2021 saa 2.00 asubuhi Makao Makuu ya Polisi Dodoma. 

Orodha ya vijana waliochaguliwa kufanya usaili Makao Makuu ya Polisi Dodoma imeambatanishwa pamoja na tangazo hili.
 

Imetolewa na;
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania
Makao Makuu ya Jeshi la Polisi

==>>Bofya Hapa Kupakua Majina ya  waliochaguliwa kufanya usaili Makao Makuu ya Polisi Dodoma


 


from MPEKUZI

Comments