Mawakala Wanne CHADEMA Wafariki Ajalini

Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Rukwa, Shadrack Malila, amesema, mawakala wanne wa chama hicho wamefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea barabara ya Molo - Sumbawanga mkoani Rukwa walipokuwa wanakwenda kuapishwa huku wengine watatu wakijeruhiwa.

 Habari Kwa kina itawekwa hivi punde



from MPEKUZI

Comments