Wananchi wa Somanga Mkoani Lindi Wamshukuru Rais Magufuli, Mzee Amkabidhi Zawadi ya Jogoo

Wananchi wa Somanga Mkoani Lindi wamemshukuru Rais Magufuli kwa kuwapa fedha na kujengwa Kituo cha Afya. Mzee Kimbwembwe amempa zawadi ya jogoo.


from MPEKUZI

Comments