Picha 13: Rais John Pombe Magufuli Aongoza Watanzania Katika Mazishi Ya Rais Mstaafu Wa Awamu Ya Tatu Benjamin William Mkapa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiweka udongo kwenye kaburi la Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa katika Mazishi yaliyofanyika katika Kijiji cha Lupaso Masasi Mkoani Mtwara.



from MPEKUZI

Comments