Askofu Gwajima Ashindwa Kura za Maoni CCM Jimbo la Kawe.....Mshindi ni Furaha Dominic Jacob

Zoezi la kura za maoni katika Jimbo la Kawe Dar es salaam CCM, limemalizika na Furaha Dominic Jacob ameongoza kwa kupata kura 101.

Furaha Dominic Jacob - 101
Angella Kiziga - 85
Josephat Gwajima - 79
Benjamin Sitta - 61 
Vincent Mashinji - 2


from MPEKUZI

Comments