Rais Magufuli Kuzungumza na Viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuhusu hali ya ugonjwa wa Corona Kuanzia Saa Tisa dk 45
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli atazungumza na Viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuhusu hali ya ugonjwa wa Corona.
Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-IKULU Gerson Msigwa imesema matangazo ya kikao hicho yatarushwa mubashara kutoka Chato Mkoani Geita kuanzia saa 9:45 alasiri leo Aprili 22, 2020.
from MPEKUZI

Comments
Post a Comment