Aliyekuwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) Salum Shamte Afariki Dunia

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF)  na Mkurugenzi wa zamani wa Katani Limited Salum Shamte amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, alikokuwa akipatiwa matibabu. Mkewe Mariam Shamte amethibitisha.

Taarifa kwa kina inakuja


from MPEKUZI

Comments