PICHA: Rais Magufuli Akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa Ya CCM Dodoma

Wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa wakiongozwa na Mwenyekiti  Rais John Magufuli wakiwa katika kikao cha kawaida cha Kamati Kuu kinachoendelea katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba, Dar es salaam.


from MPEKUZI

Comments