Mke wa Kobe Bryant aishitaki kampuni ya ndege iliyosababisha ajali ya mume wake

Vanessa Bryant ambaye ni mke wa  Kobe Bryant, ameishtaki kampuni ya Island Express na rubani wa helikopta iliyopata ajali na kusababisha kifo cha mume wake na mwanae Gianna lakini pia watu wengine 7.

Akiongea jana katika siku maalumu ya kutoa heshima za mwisho kwa wapendwa wao alisema hali ya hewa haikuwa salama kwa safari, na helikopta ilikuwa mbovu kwanini iliruhusiwa kufanya safari huku hali ya hewa haikuwa salama kwa safari, hali ya kuwa wahusika wanaelewa fika mazingira yapi hayafai kufanya safari na mazingira yapi yanafaa kwa safari Za Helkopta

Ametaka kulipwa fidia kwa kupoteza wapendwa wake kwani anaamini kuna uzembe ulifanyika.


from MPEKUZI

Comments