Bondia Deontay Wilder Amtupia Lawama Kocha Wake Baada Ya Kutandikwa na Tyson

Bondia Deontay Wilder amemfukuza kazi kocha wake Mark Breland kufuatia kupigwa TKO round ya 7 vs Tyson Fury na kupoteza Ubingwa wa Dunia uzito wa juu WBC.

Wilder anaamini Mark alikosea kurusha taulo ulingoni kuashiria kuwa Wilder hawezi kuendelea tena na pambano


from MPEKUZI

Comments