PICHA: Katibu Mkuu CHADEMA John Mnyika Apewa Uchifu Wa Wasukuma

Katibu Mkuu Chadema, Mheshimiwa John Mnyika leo amesimikwa kuwa Chifu wa Wasukuma na kupewa jina la Maronja likiwa na maana ya MREKEBISHAJI. Mnyika yupo mapumzikoni kijijini kwao mkoani Mwanza.



from MPEKUZI

Comments