LIVE: Rais Magufuli Akipokea Gawio Kutoka Taasisi Mbalimbali
on
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli anapokea gawio, michango na ziada ya Serikali kutoka mashirika, kampuni na taasisi mbalimbali ambazo zinamilikiwa na Serikali.
Hafla ya kupokea gawio, michango na ziada hiyo inafanyika Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma
Comments
Post a Comment