Heri Ya Kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli

Leo Oktoba 29, 2019, Rais Magufuli anasherehekea kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa. 

Rais Magufuli alizaliwa tarehe kama ya leo Oktoba 29, 1959 na ametimiza miaka 60, tunamtakia afya njema na Mungu azidi kumuongoza katika majukumu yake.


from MPEKUZI

Comments