VIDEO: Rais Magufuli apokea hati za utambulisho wa balozi wa zimbabwe nchini tanzania

Balozi mteule wa Zimbabwe nchini Tanzania, Meja Jenerali Anselem Nhamo Sanyatwe, amekabidhi hati za utambulisho kwa Rais Magufuli leo Agosti 29 Ikulu Jijini Dar es Salaam


from MPEKUZI

Comments