Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ afunga ndoa rasmi

Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Mhe.Joseph Mbilinyi maarufu kwa jina la SUGU, leo Agosti 31, 2019 amefunga ndoa na Happiness Msonga katika  Kanisa la Katoliki Ruanda, jijini Mbeya.


from MPEKUZI

Comments