Waziri Mkuu Amjulia Hali Mkuu Wa Wilaya Ya Chemba Simon Odunga

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiakimjulia hali Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Simon Odunga, aliyelazwa, katika Hospitali ya Mkoa, jijini Dodoma, Juni 24.2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


from MPEKUZI

Comments