Basi la Arusha Express lateketea kwa moto

Basi la kampuni ya Arusha Express linalofanya safari zake kati ya Bukoba na Arusha limeungua moto asubuhi ya leo katika maeneo ya Kibeta, Manispaa ya Bukoba. 

Hakuna madhara kwa binadamu yaliyoripotiwa wala chanzo cha moto huo hakijajulikana.


from MPEKUZI

Comments