Rais Magufuli Ateua Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Uongozi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania (TASAF).

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amemteua Moses Mpogole Kusiluka kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Uongozi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania (TASAF).



from MPEKUZI

Comments