CCM Watuma Rambirambi Kifo Cha Mzee Ndejembi

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimepokea kwa mshtuko na huzuni kubwa taarifa za kifo cha Mzee Pancras Mtemi Ndejembi  ambaye amekuwa sehemu ya mzee maarufu na wanaoheshimika katika Chama kada wa Chama na Kiongozi Mstaafu wa  Chama na Serikali.

Ndejembi amefariki katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma alikopelekwa jana Ijumaa baada ya hali yake kubadilika ghafla.


from MPEKUZI

Comments