Huddah Monroe Ataja Kinachowafanya Wanaume Wasibanduke Kwake

Mrembo kutokea nchini Kenya, Huddah Monroe  amefunguka kitu ambacho kinavutia wanaume kutoka kwake.

Mrembo huyo ambaye alikuwa hapa nchini hivi karibuni, katika mahojiano na Wasafi TV amesema tabasamu lake ndilo linavutia wanaume wengi.

“Which part on my body wanaume wengi wapo attractive is….., I think is my smile,” amesema Huddah.

June 17, 2018 katika show ya Harmonize ‘Kusi Night’, Huddah ni miongoni mwa wale waliotoa burudani ya aina yake. Alipanda jukwaani na kucheza ngoma ya Diamond ‘ African Beauty’ kitu kilichoibua shangwe la aina yake.


from MPEKUZI

Comments