Gigy Money: Ningekuwa Mwanaume Kamwe Nisingetembea Na Irene

Bifu kati ya mwanadada Gigy Money na Irene bado linaendelea na wanazidi kutoleana maneno ya kashafa katika mitandao ya kijamii.

Hivi karibuni Gigy Money amefunguka na kumponda vibaya mwanadada Irene na kumwambia kuwa hana uzuri wowote labda ile rangi ndio inayompa kiburi mjini.

Katika Interview yake Gigy Money anasema kuwa Irene sio mtu wa kutamani kukutana nae personally kama watu wengi wanavyomuona alivyo huko Instagram , lakini ni msichana wa kawaida tu na hana uzuri wowote huku akiongezea na kusema kuwa kama angekuwa mwanaume wala asingehangaika kutoka kimapenzi na Irene.

"Sijawahi kufikiria kumpenda hata siku moja na hata siku tunakutana i was too drunk,na nilipokutana nae sikumjua hata mana live na personal ni tofauti kabisa,mimi ni mwanamke lakini ningekuwa mwanaume wala nisingepita."


from MPEKUZI

Comments