AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 71 na 72 )

MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA-
0657072588
ILIPOISHIA 
Baba alizungumza, wasichana hao wakanishika mikono, na kuanza kuondoka na mimi, huku baba akinikonyeza. Tukaingia kwenye moja ya chumba kilicho puliziwa manukato mazuri sana, huku kukiwa na kitanda kikubwa pamoja na sofa kubwa.
Wasichana hawa wakanisukuma kitandani na kuanza kunivua nguo moja baada ya nyingine hadi nikabaki kama nilivyo zaliwa. Wakaanza kuninyonya jogoo wangu huku mikono yao ikiwa inakatiza sehemu mbalimbali za mwili wangu. Nikiwa katika raha hii ambayo kila mwanaume huipenda, akaingia baba akiwa na kipande cha sigara mkono, nikataka kujifunika shuka kutokana na aibu.
“Endelea nahitaji kuona jinsi unavyo....msichana”
Kauli ya baba ikanifanya tubaki tumetazamana, kama kawaida yake akanikonyeza kuzidi kuniruhusu niwashuhulike wasichana hawa wenye hamasa kitandani.

ENDELEA
Wasichana hawa wakawa kama wamezidishiwa kasi ya kucheza ya jogoo wangu, kila mmoja akawa na utaalamu wake wa kunyonya jogoo wangu. Kwa macho ya kuiba nikamuona jinsi baba anavyo tingisha kichwa akikubaliana na mapigo ya mabinti hawa wanao hitaji kupata sifa mbele ya bosi wao. Nikashusha pumzi nyingi, kisha nikanyanyuka na kushuka kitandani huku jogoo wangu akiwa amesimama.
“Baba swezi kufanya hivi mbele yako?”
“Kwanini?”
“Baba umeona wapi mtoto akifanya mapenzi mbele ya baba yake”

Baba akanitazama usoni jinsi ninavyo zungumza kwa msisitizo, akanyuka kwenye sofa alilo kalia na kuanza kupiga hatua za taratibu hadi sehemu nilipo simama.



from MPEKUZI

Comments