AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 43 na 44 )

MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA  

Mama Mariam akajinyanyua taratibu kutoka kwenye mapaja yangu na kukaa pembeni huku akiendelea kuhema sana. Akamshuka jogoo wangu kwa mkono wake wa kushoto na kuanza kuminya minya ili kuwamalizia waarabu weupe watoke.  Akanyanyuka na kulifwata taulo lililopo kitandani, akiwa karibu ya kitanda nikamuona akiinama chini kama anaokota kitu akanyanyuka na kunigeukia sura yake nikaiona ikiwa imebadilika, moja kwa moja nikayapeleka macho yangu kwenye mkono wake, nikaona akiwa ameshika chupi ya bikini.
“Dany hii si chupi ya Asma, imefwata nini humu chumbani mwako”
Mama Mariam aliniuliza kwa saui ya hasira hata sura yake ya mapenzi mazito aliyo kuwa ananionyesha dakika chache zilizo pita ikapotea kabisa.
  
ENDELEA  
Nikabaki nikiwa nimemkodolea macho pasipo kuzungumza kitu chochote. Mama Marima akanifwata kwenye sofa nililo kaa huku akiendelea kuwa katika hali ya hasira.

“Hii chupi ya Asma humu ndani kwako imefwata nini?”
“Kwani hizo chupi zina majina?”
Ilinibidi kumuuliza mama Mariam kwa ukali, hadi akapunguza hasira yake, taratibu akakaa pembeni yangu.
“Umekazania kusema chupi chupi, huyo Asma ni lini nimeonana naye, lini ameingia ndani kwangu. Nimerudi nasikia amepotea narudi leo unaniambia maswal ya chupi wewe vipi, unahisi mimi ni mtu wa kumtomb** kila mwanamke humu ndani ya nyumba yako. Tuheshimieane bwana, kukupa nafasi ya kuwa na mimi sio kutaka kutawala kila kitu kwenye maisha yangu, utambue kwamba nina mpenzi wangu na anahaki ya kuja hapa muda wowote na si Asma au wewe”
Nilizungumza kwa ukali hadi mama Fatuma akatulia kimya, hakuwa na chakuzungumza zaidi ya kutetemeaka kwa woga, kwa manaa tangu aweze kunifahamu leo ndio ameweza kuisikia sauti yangu ya hasira na hata sura yangu imebadilika.

“Naomba unisamehe Dany mpenzi wangu ila…”
“Ila nini, unaleta wivu wakitoto wakati wewe ni mtu mzima hata mimni ndogogo kwako. Hembu nisikilize vizuri, ninaweza hata haya mapenzi nikayaua kuanzia leo na huto weza kunifanya kitu cha ina yoyote sawa”
Kuzungumza hivyo kukamchanganya zaidi mama Maria, aliye jikuta akipiga magoti chini kwa haraka na kuikusanya mikono yake mbele na kuniomba msamaha huku machozi yakimwagika. Nikamtazama kwa hasira iliyo changanyikana na uongo mtupu kwa maana kitu anacho kizungumza ni kweli hii chupi ya Asma, ila kutokana sihitaji ukweli kuweza kujulikana na huo Asma mwenyewe amekuwa ni adui kwangu, ilinibidi kuigiza ukali kumfanya mama Mariamu kuniamini na kuto nihisi vibaya.
“Dany ukifanya hivyo utanniua mpenzi wangu, samahani sana kama nimekuudhi, maisha yangu kwa sasa yanakutegemea wewe kwa kunipa furaha please baba angu nisamehe”

Nikaka kimya na kijifanya simuangalii kabisa usoni mwake, huku moyoni nikijisemea kimoyo moyo kwamba aliti angejua huyo Asma amemzidi viwango kwenye swala la kitandani wala asinge jisumbua kuniomba msamaha.
“Dany tazama jinsi ninavyo kutunzia penzi lako. Ni watu wanaume wengi wanapenda kunitongoza na wana maisha yao mazuri ila nina kataa kutokana na penzi lako”
“So unaniambia hivyo ukimaanisha kwamba wewe ni mzuri sana au?”
“Hapana Dany, nazungumza hivyo ili uweze kutambua thamani ya penzi lako kwangu, sina mwanaume mwengine ambaye anaweza kulihiili penzi langu zaidi yako, ndio maana nina wivu na wewe”
“Ila utambue kwamba nina mpenzi wangu”
Hapo mama Mariamu akaka kimya huku akitafakari cha kuzungumza, taratibu akanitazama huku akijifuta machozi.
“Dany nakubali hata kuwa mwanamke wa pili kwako, natambua umri ndio unafanya mapenzi yetu yawe hivi, umri ndio unafanya mimi kuwa mwanamke wa pili kwako”
“Unaweza kuwa wa kwanza, ila hujafanya kitu cha kunifanya nikuweke wa kwanza”



from MPEKUZI

Comments