Waziri Mkuu wa Burundi Jenerali Alain Guillaume aondoka nchini leo

Waziri Mkuu wa Burundi Jenerali Alain Guillaume ameondoka nchini  leo Julai 29,2020 baada ya kuwasilisha salamu za pole kufuatia kifo cha Mzee Mkapa.

Mwenyeji wake Waziri wa Viwanda Mhe.Innocent Bashungwa ndiye aliyemsindikiza uwanja wa ndege wa Julius Nyerere Dar es Salaam.


from MPEKUZI

Comments