Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Akagua Maandalizi Ya Kuagwa Mwili Wa Mzee Mkapa Uwanja Wa Uhuru

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Mazishi ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu , Benjamin William Mkapa wakati alipokagua maandalizi ya Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam  Julai 25, 2020 ambapo  kutafanyika Ibada ya kumwombea marehemu na  kuaga mwili kitaifa kuanzia kesho. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)



from MPEKUZI

Comments