Mbogo Mining, Wafanyakazi Waomboleza Kifo cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa

Mkugenzi Mtendaji, na Wafanyakazi wa Makampuni ya Mbogo  Mining na Nile Complex Plaza Limited wanatoa pole kwa  Familia na Watanzania Wote, katika Maombolezo ya kifo cha  Rais Mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu  ya Tatu. Mh. Benjamin W. Mkapa . 


from MPEKUZI

Comments