Tamko la CHADEMA juu ya kukamatwa Mwandishi na kufariki Ofisa wa Wizara ya Fedha

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa waraka kwa waandishi wa habari ambapo wametaka ufafanuzi juu ya matukio mbalimbali yanayotokea nchini ikwemo kukamatwa kwa Mwandishi wa habari za uchunguzi Erick Kabendera na kifo cha Ofisa wa Wizara ya Fedha.


from MPEKUZI

Comments