BAKWATA yatangaza tarehe ya sikukuu ya Idd

Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limetoa taarifa kuwa sikukuu ya Eid El-Fitr itakuwa siku ya Jumatano Juni 5 au Alhamisi 06 Juni 2019,kutegemeana na kuandama kwa mwezi.

Sherehe za Eid El-Fitr kitaifa zitafanyika Tanga ambapo mgeni rasmi atakuwa Waziri Mkuu Majaliwa .



from MPEKUZI

Comments