Tangazo La Nafasi Za Masomo shule ya Lake Tanganyika

 Tangazo tangazo tangazo...!!!
Uongozi wa shule za Lake Tanganyika  zilizopo mkoa wa Kigoma na wilaya ya Kigoma vijijin unapenda kuwatangazia nafasi za masomo Kama ifuatavyo;


Nafasi za masomo kidato Cha tano kwa tahasusi zifuatazo HGK,HGL, na HKL .Mwombaji awe na sifa zifuatazo;- awe na C tatu na asiwe na F kwenye comb
 

Pia Kuna nafasi ya kuhamia kidato Cha Kwanza,tatu na sita
Na pia tuna shule ya msingi yaani English medium Kuna nafasi za kuhamia standard one Hadi standard three 


Ada zetu ni rafiki Sana na zinawezekana kwa kila mzazi kumlipia mtoto upande wa secondary ada zetu ni laki Tisa tu kwa mwaka na primary ada zetu ni milioni moja tuu kwa mwaka
 

Shule Ina mazingira mazuri na walimu wa kutosha wa kuwezesha mwanao kufaulu
 

Shule ni bweni tu kwa wasichana na wavulana na inachukua dini zote
 

Kwa mawasiliano zaidi fika shuleni au piga namba zifuatazo
0769697667,0765530794,0624469016,



from MPEKUZI

Comments