Tangazo la Nafasi 250 za Kazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji


Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji anatangaza nafasiza ajira kwa vijana waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na walioko kambini wenye sifa zifuatazo:-

1.    Wenye elimu ya kidato cha Nne (Nafasi 180)
(i)    Waliohitimu kidato cha nne kuanzia mwaka 2015 hadi 2020.
(ii)    Wenye astashahada, Trade-Test Grade I,    FTC  na  ujuzi katika fani zifuatazo watapewa kipaumbele:-
a.    Udereva Daraja E
b.    Ufundi Magari
c.    Ushonaji
d.    Ufundi bomba
e.    Ufundi ujenzi
f.    Ufundi Umeme
g.    Uogeleaji /Uzamiaji
h.    Sayansi  ya  moto  kutoka  chuo  cha  Zimamoto  na  Uokoaji au chuo kingine kinachotambuliwa  na serikali.
i.    ClinicalAssistants
 

(iii)    Umri kuanzia miaka 18 hadi 23

==>>Kujua Zaidi pamoja na Kutuma Maombi,BOFA HAPA 

Mwisho wa Maombi: 13.10.2021


==>>Kujua Zaidi pamoja na Kutuma Maombi,BOFA HAPA 
Mwisho wa Maombi: 13.10.2021

 



from MPEKUZI

Comments