Lazaro nyalandu Aangushwa Ubunge Singida....CCM Washinda

Mgombea ubunge kupitia Chadema Lazaro Nyalandu ameshindwa ubunge katika jimbo la Singida Kaskazini baada ya kushindwa na mgombea wa CCM, Rashid Mandoa aliyepata kura 43,847.



from MPEKUZI

Comments