Halima Mdee Apoteza Jimbo la Kawe


Mgombea Ubunge wa CCM Jimbo la Kawe Askofu Josephat Gwajima ametangazwa kuwa mbunge mteule wa jimbo hilo baada ya kupata kura 194,833 akifuatiwa na Halima Mdee wa CHADEMA aliyepata kura 32,524.





from MPEKUZI

Comments