Katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally Kakurwa azindua awamu ya tatu ya Kampeni za CCM


 Katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally Kakurwa amezindua awamu ya tatu ya Kampeni za CCM Kutokea Kongwa Mkoani Dodoma Kwenye Mkutano Mkubwa wa Mgombea Mwenza wa CCM Mama Samia Suluhu Hassani. Chama Cha Mapinduzi kimeingia Awamu ya 3 Kati ya 6 za Kuwasha Mitambo yake ya Kampeni za Kumnadi Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli, Wabunge na Madiwani wote nchi nzima.








from MPEKUZI

Comments