Waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe ajiuzulu kutokana na sababu za kiafya

Waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe ametangaza kwamba amejiuzulu kutokana na sababu za kiafya.

Amesema kwamba hataki maradhi alionayo kuingilia kazi yake , na kuomba msamaha kwa raia wa Japan kwa kushindwa kukamilisha muda wake.

Ameugua kwa miaka mingi kutokana na ugonjwa wa vidonda vya tumbo lakini hali yake imekuwa mbaya zaidi katika siku za hivi karibuni.

Mwaka uliopita , alikuwa waziri mkuu wa Japan aliyehudumu kwa kipindi kirefu nchini Japan.


from MPEKUZI

Comments