NEC Yamteua Yeremia Maganja wa NCCR-Mageuzi kuwa mgombea urais wa Tanzania
on
Get link
Facebook
Twitter
Pinterest
Email
Other Apps
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Semistocles Kaijage amemteua Yeremia Maganja wa NCCR-Mageuzi kuwa mgombea urais wa Tanzania na Haji Ambar Khamisi kuwa mgombea mwenza katika Uchaguzi Mkuu wa 28 Oktoba 2020.
Comments
Post a Comment