Maalim Seif achukua fomu ya kuwania Urais Zanzibar

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo  Maalim Seif Sharif Hamad amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Urais wa Zanzibar leo August 30, 2020 katika ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC).

Akitoa fomu hizo na kueleza masharti yanayopaswa kuzingatiwa na wagombea hao, Mwenyekiti wa ZEC Jaji Mkuu Mstaafu Hamid Mahmoud amesema wagombea hao wanatakiwa  kusaka wadhamini na kurejesha fomu hizo baadaye kwa uhakiki.



from MPEKUZI

Comments