Wenye Virusi Vya Corona Zanzibar Wafika 98.....Ni Baada Ya Wengine 15 Kuongezeka

Wizara ya Afya Zanzibar imetoa taarifa ya ongezeko la Wagonjwa wapya 15 wa corona na kufikisha idadi ya wagonjwa 98 kutoka 83.

Taarifa hiyo imesema wagonjwa wote ni Raia wa Tanzania (Unguja 10 na Pemba watano).

Kwa ongezeko hili sasa idadi ya visa vya corona Tanzania nzima imefikia 299 kutoka 284.


from MPEKUZI

Comments