Wenye Virusi Vya Corona Nchini Uganda Wafika 79....Ni Baada ya Madereva 04 Toka Tanzania Kuongezeka

Wizara ya Afya nchini Uganda imetangaza ongezeko la visa vipya 4 vya maambukizi ya COVID-19 baada ya kufanya vipimo vya sampuli 1578

Wote ni Watanzania ambao ni madereva wa malori walioingia kupitia mpaka wa Mutukula.

 Idadi ya wagonjwa wa COVID-19 nchini humo sasa ni 79.


from MPEKUZI

Comments