PICHA: Kangi Lugola Alivyowasili TAKUKURU Kwa Ajili ya Kuhojiwa

Mbunge wa Mwibara na Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amewasili makao makuu ya ofisi za Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) jijini Dodoma kwa ajili ya kuhojiwa.



from MPEKUZI

Comments