Naibu Katibu mkuu Wizara ya mambo ya ndani Ramadhan Kailima Awasili TAKUKURU Kuhojiwa

Naibu Katibu mkuu Wizara ya mambo ya ndani Ramadhan Kailima amewasili  TAKUKURU Makao Dodoma  majira ya saa 8:50 asubuhi  kwa ajili ya kuhojiwa akiwa na gari ya  Land cruiser T.830 DNL
 
Kailima alikwepa kuingilia lango kubwa la mapokezi akaingilia lango dogo la moja kwa moja hadi chumba cha mahojiano ili kukwepa kamera za wanahabari.

Naibu  waziri wa Mambo ya ndani Hamad Masauni atawasili saa sita mchana


from MPEKUZI

Comments