Makonda apigwa marufuku kuingia Marekani

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amepigwa marufuku kuingia Marekani.

Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani jana  Ijumaa, Januari 31 2020 marufuku hiyo pia inamhusisha mke wa Makonda Bi Mary Felix Massenge.




from MPEKUZI

Comments