Eneo kubwa linauzwa: Mapinga(Bagamoyo) ......Bei ni Nzuri Kabisa

Eneo kubwa linauzwa: Mapinga(Bagamoyo)

 Eneo kubwa la ekari 5 linauzwa bei nafuu sana. Eneo linafaa kwa uwekezaji wa shule, hospitali, chuo, yard, kiwanda n.k
Eneo liko sehem nzuri, yenye view nzuri na barabara ya uhakika.


Umbali kutoka Bunju  ni 5km

Bei ya kila ekari moja ni tsh 20 mil fixed.

Call 0758603077


from MPEKUZI

Comments