Tangazo La Nafasi Za Kazi Katika zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura -Dodoma

Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Dodoma Mjini anapenda kuwajulisha kuwa, zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Kata zote za Halmashauri ya Jiji la Dodoma linaanza hivi karibuni. 

Katika zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la  Wapiga kura Vituoni, watatumika Waandishi Wasaidizi na BVR Kit Opeators

Hivyo anakaribisha maombi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi hizo:

Kwa maelezo ya ufafanuzi wa Tangazo, Sifa za Waombaji wa nafasi (Waandishi Wasaidizi na BVR Kit Operators), Majukumu yao na Mambo ya kuzingatia wakati wa kutuma maombi. 



from MPEKUZI

Comments