Chadema yatoa majina ya wagombea ngazi ya kanda...Lazaro Nyalandu Naye Yumo

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza wagombea mbalimbali wa uchaguzi ndani ya chama hicho ngazi ya kanda ambao wameteuliwa kwenye kikao cha Kamati Kuu cha Novemba 23, 2019 ambapo mwanasiasa mkongwe, Lazaro Nyalandu, amepitishwa kugombea uenyekiti wa kanda ya kati akichuana na Alphonce Mbassa.

Nafasi hizo za walioteuliwa ni mwenyekiti wa kanda, makamu mwenyekiti na mweka hazina ambapo chama hicho kinatarajiwa kufanya uchaguzi mkuu Desemba 18, mwaka huu.


from MPEKUZI

Comments