Arsenal yamfuta kazi Kocha Mkuu Unai Emery

UNAI Emery aliyekuwa kocha mkuu wa Arsenal amepigwa chini ndani ya kikosi hicho baada ya kudumu nacho kwa muda wa miezi 18 akiwa kazini.

Arsenal imefikia uamuzi huo baada ya jana kupigwa na Frankfurt bao 2-1, kwa mchezo wa saba mfululizo bila ushindi (sare 5 na  vipigo 2).
 

Arsenal imemtangaza Freddie Ljungberg kuwa kocha wa muda na kurithi mikoba ya Emery.


from MPEKUZI

Comments