Kituo cha kuzalisha na kusambaza umeme cha Mlandizi Chateketea kwa Moto

Kituo cha kuzalisha na kusambaza umeme cha Mlandizi mkoani Pwani kimeungua moto kufuatia mlipuko uliotokea kwenye transfoma.

Taarifa iliyotolewa na TANESCO inasema chanzo cha mlipuko huo bado hakijafahamika na uchunguzi unaendelea.  


from MPEKUZI

Comments