Muhammad Buhari Atangazwa Kuwa Mshindi wa Kiti cha Urais Nigeria

Muhammad Buhari ametangazwa na Tume ya Uchaguzi Nigeria kuwa mshindi wa kiti cha Urais kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika Februari 23

Buhari ameshinda kwa kura millioni 15 akiwa zaidi kwa kura millioni 4 zaid ya mpinzani wake Atiku aboubakar . Hata hivyo, Upinzani wamekataa matokeo hayo.

Chama cha Buhari kimeshinda majimbo 19 kati ya 36 , wakati chama cha upinzani cha PDP wakishinda majimbo 17.

Tume ya uchaguzi imesema kuwa itaangalia malalamiko yote kabla ya kutangaza Rasmi matokeo ya uchaguzi.


from MPEKUZI

Comments