Baraza la Sanaa la Taifa(BASATA) Lasitisha usajili wa Msanii Godfrey Tumaini (Dudubaya)

Baraza la Sanaa la Taifa(BASATA) limesitisha usajili wa Msanii Godfrey Tumaini(Dudubaya),kuanzia jana Alhamisi, 28 Feb 2019 . 

Hatua hiyo imechukuliwa baada ya msanii huyo kukamatwa na jeshi la polisi, kutokana na kutoa kauli zisizofaa kwenye mitandao ya kijamii dhidi ya Ruge


from MPEKUZI

Comments