Video: Sugu aimwagia sifa Serikali Bungeni

Mbunge wa Mbeya mjini kwa tiketi ya Chadema Joseph Mbilinyi, almaarufu Sugu, amekunwa na utendaji kazi wa wizara ya afya na kuimwagia sifa mbele ya Bunge. 

Msikilize hapo chini


from MPEKUZI

Comments